Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, November 5, 2010

Kipimo

Jamaa mmoja mlevi alienda kuomba kazi kiwanda cha wine wakam-test kwa kumpa mvinyi (wine)aonje na kufafanua ni kinywaji gani nk nk
Akapewa wine ya kwanza akaionja na kujibu, ''hii ina miaka 10, kilevi......'' nk nk
Akapewa ya pili pia akapatia vyema kabisa.

Wakaona kweli anafaa wakamuekea mkojo kwenye glass, yule jamaa alipoonja akajibu ''mkojo wa mtu mwenya miaka 21, na mjamzito wa miezi mitatu, na kama hamnipia kazi ntawatajia na baba wa huyo mtoto.''

No comments:

Post a Comment