Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, November 29, 2010

Mke na mume

Mwanamke mmoja alikua amekaa sebuleni na mwanae, punde akachukua simu na kumpigia mumewe huku simu ikiwa katika sauti kubwa (loud speaker) ''mume wangu upo wapi? Mbona unachelewa kujibu''

Mume akawa anajibu kupitia simu, ''naja punde mke wangu nipo kwenye jam''
Kale katoto kakaenda jikoni na kurudi huku kakimuambia mama yake ''mama...mama... Baba muongo mbona hayupo humu kwenye chupa ya Jam'' (mithili ya siagi)

No comments:

Post a Comment