Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 24, 2010

Bata

Kibosile mmoja alienda kuangalia sarakasi, mwanasakasi mmoja akawa amemuweka bata chini ya beseni amemfunika juu chini huku akiruka ruka na kucheza.

Yule kibosile akaongea na jamaa mpaka akamunua yule bata. Siku chache mbele akampigia simu yule aliemuuzia, ''halo... Mbona bata hachezi kama siku ile?

Jamaa akamjibu, ''ulikumbuka kumuwashia mshumaa?''

No comments:

Post a Comment