Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 3, 2010

Utani huu

Mfanyakazi mmoja akiongea mbele ya wenzake chuo fulani, ''aisee mmemuona Mkuu wetu mpya alivyo na sura mbaya kama anang'oa jino?''

Mwanamke mmoja pale pembeni akadakia, ''unajua mimi ni nani?''
Mfanyakazi akajibu, ''hapana, we ni nani?''
mwanamke akajibu, ''mimi ni mke wa huyo unaemzungumzia''

Mfanyakazi: Ooh, na mimi unanifahamu ni nani?
Mwanamke akajibu: Hapana.
Mfanyakazi akanena, ''Ooh vizuri kumbe kibarua changu kipo salama.''

No comments:

Post a Comment