Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, November 19, 2010

Kituo cha polisi

Jamaa mmoja alienda mpaka kituo cha polisi akafika na kuuliza, ''nna tatizo nyumbani kwangu''
Polisi akamuuliza: Tatizo gani hilo lililokuleta?
Jamaa akajibu: Kuku wangu wawili wameibiwa na mbwa wenu.
Polisi: Mbwa wetu?
Jamaa: Si yule mbwa anaitwa polisi kwani sio wenu?

No comments:

Post a Comment