Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, November 7, 2010

Kifo cha mgonjwa

Jamaa walikua na mgonjwa wao aliekuwa amelazwa na hali mbaya! Wakaamua kumuita mchungaji aje kumuombea!

Yule mgonjwa akaomba peni na karatasi kwa vitendo, akaandika kitu akampa mchungaji. Mchungaji akakichukua na kukiweka mfukoni.

Alipokufa mgonjwa, baada ya kuzika akakumbuka ana kile kikaratasi, akakitoa na kukisoma mbele ya watu wasikie marehemu alichoandika kama ifuatavyo ''mchungaji umekanyaga paipu yangu ninayovutia oxygen''

No comments:

Post a Comment