Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 3, 2010

Hotelini

Mr. na Mrs. Walienda hotel moja kusherekea miaka yao 50 ya ndoa. Punde kidogo wakarudi reception na mume akaanza kubwata ''hatukitaki kile chumba, hakina kiti, meza, dirisha wala choo''

Mzee wa watu akazidi bwatuka ''yaani mmetuona sie ndio wakuja sio, niitie meneja wenu haiwezekani kabisa.....''

Mhudumu akawa anajaribu kumkatisha mpaka akafanikiwa ''Mzee... Mzee... Mzee hile ni lift sio chumba mlichopewa''

No comments:

Post a Comment