Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, November 9, 2010

Ki-ndege

Jamaa alienda kuangakia sinema, alipoomba kukata ticket mbili za kuingia akaambiwa hawaruhusu kuingia na wanyama au ndege.

Akaenda pembeni akamfiche yule ndege kwenye suruali, kisha akafanikiwa kuingia ndani kuangalia sinema! Kwa vile joto lilizidi akafungua zipu ili kale kandege kapunge upepo. Humo sinema pana kigiza giza......

Dada mmoja akamnong'oneza mwenzake ''hii dudu ya huyu jamaa pembeni yangu inakula popcorn zangu''

No comments:

Post a Comment