Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, November 29, 2010

Mavituzi

Mwanamke mmoja wa kipemba alikuja Dar, siku moja akaopolewa na kidume. Alipewa malavidavi moto moto ikiwa kunyonywa kona zote.

Siku aliporudi kwa mumewe zanzibar wakati yupo na mumewe wakati wa malavidavi akamuambia ''mume wangu, Dar yaliwa hiyo''

No comments:

Post a Comment