Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, November 9, 2010

Kukujoa hadharani

Jamaa mmoja alikua anakujoa kwenye eneo la wazi, ghafla polisi akatokea na kumuuliza '' wewe kwa nini unakojoa hadharani? Hebu fungazipo yako utoke hapo''

Yule jamaa akaanza kucheka sana baada ya kupandisha zipi yake, polisi akamuuliza ''kulikoni tena?''
Jamaa akajibu ''nimefunga zipu ila bado naendelea kukojoa ndani ya suruali.''

No comments:

Post a Comment