Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, November 1, 2010

Kahawa

Dokta nna tatizo, kila nkinywa kahawa baada ya muda nasikia kama maumivu hivi kwenye koo.
Dokta baada ya kumfanyia X-ray nakadhalika akamuambia ''siku ingine kabla hujanywa chai hakikisha umetoa kijiko cha sukari kwenye kikombe kwanza.''

No comments:

Post a Comment