Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, December 14, 2010

Malengo

Watoto wawili mapacha wakiwa bado tumboni mwa mama yao wakiongea:
Mtoto wa kwanza: Mimi nikitoka humu ndani lazima niwe fundi umeme, kwa sababu ya hili giza.

Mtoto wa pili: Mimi lazima niwe muwindaji.
mwenzake akamuuliza. ''Kwa nini?''
Akajibu: We humuoni yule nyoka anaeingia humu mara kwa mara.

No comments:

Post a Comment