Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, December 11, 2010

Mgao wa umeme

Jamaa mmoja wakati yupo kijiweni anatwanga stori na wenzake, mmoja akasema ''dah huu mgao wa umeme kero sana Dar, na hili joto mh''
Ndipo mwenzake akanena, ''ooohh ndio maana nyumbani nasikiaga kitu kama jenereta, kumbe kuna mgao siku hizi?''

No comments:

Post a Comment