Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, December 17, 2010

Sh 200

Jamaa mmoja alienda kununua sigara packti zima.
Alipofika akajikuta ata pungufu ya shilingi mia mbili. Muuza duka akakomaa bila mia mbili hatoi kitu. Jamaa akaenda nyumbani na kumchukua mwanae wa miaka minne na kumpa muuza duka.

Muuza duka akauliza, ''sasa huyu mtoto ndio wa nini mie?''
Jamaa akamjibu, ''ile mia mbili anayo huyo mtoto aliimeza ichukue''

No comments:

Post a Comment