Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, December 31, 2010

Wanandoa wakigombana

Wanandoa wawili baada ya majibizano yaliyogharimu takribani nusu saa yaliishia hivi:
Mwanamke: Nilikua mpumbavu kukubali kuolewa na wewe.
Mwanaume: Nili-fall in love ndio maana sikuliona hilo.

No comments:

Post a Comment