Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, December 4, 2010

Kagera

Jamaa wakiongelea kazi, mmoja akamuuliza mwenzake, ''aisee hivi ulisema wamekupagia wapi kazi?''
Jamaa yake akamjibu, ''dah si Kagera ndugu yangu'' mwenzake akajibu ''duh! Si kuna kutekwa tekwa njiani kule?''
Jamaa akajibu, ''we acha tu, sijui ndio wamenitoa kafara au ndio wananipeleka mafunzoni''

No comments:

Post a Comment