Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, December 27, 2010

Foleni ya magari

Siku moja jamaa wawili walikua wakitwanga stori za hapa na pale zikaingia mpaka zihusuzo foleni za barabarani. Jamaa mmoja akasema "dah foleni za dar bwana, jumapili zinaafadhali kidogo"

Mwenzake akadakia na kujibu "weeweee! Kitu ubungoooo. Pale foleni ni compulsory"
Yaani akimaanisha ni laziiimaa!

No comments:

Post a Comment