Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, December 14, 2010

Saprizi

Mwanamke mmoja aliporudi nyumbani mumewe akamfunika nakitambaa usoni.

Akampeleka mpaka kwenye meza ya chakula, sasa mkewe alikua anasumbuliwa na tumbo. Akawa anajinyanyua upande mmoja akijamba mara kama tatu.

Mumewe alipomfungua kile kitambaa ili akutane na hiyo sapraizi. Hamadi meza ya chakula imejaa wakwe wa pande zote mbili...

No comments:

Post a Comment