Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, December 4, 2010

Umeme

Jamaa mmoja akimuuliza mwenzake, ''jana nlikuona na mrembo pale kibarazani''
Jamaa aliekua na mrembo, ''ndio bwana nilikua namtongoza''
Jamaa wa kwanza, ''enhe sasa ikawaje?''
Akajibu, ''nilishindwa kuongea''
Jamaa akamuuliza ''kwa nini ulishindwa?''
Aliekitongoza akajibu ''umeme ulikatika sikuweza kusoma kikaratasi maneno ya kuongea''

No comments:

Post a Comment