Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, March 20, 2012

Ajali hii mhh!

Trafic polisi: Unatambua kua umeua watu 10 kwenye ajali hii?
Dereva: Breki ziligoma, kushoto kuna mtu mmoja kulia wawili ungekua wewe ungeelekezea wapi gari?
Trafic polisi: Ningeelekea upanda wa mtu mmoja.
Dereva: Unaona, ndio nlifanya ivo ivo ila yeye alikua anakimbilia kwenye watu wengi mi nkamfuata huko huko.

No comments:

Post a Comment