Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, March 20, 2012

Mlokole na mlevi

Mlokole alipanda daladala akakaa pembeni mwa mlevi. Maongezi yao yakawa hivi:
Mlokole: Unajua wewe unaenda motoni?
Mlevi: Oh! Kumbe, wee konda nishushe bwana mi nlidhani unaenda mjini.

No comments:

Post a Comment