Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, March 20, 2012

Mpaka kwa dokta

Jamaa alienda mpaka kwa daktari na kumuelezea "dokta ona nna karoti kwenye pua, na kipande cha pera kwenye sikio, ntakua na tatizo gani?"
Dokta akajibu "hauli inavyotakiwa"

No comments:

Post a Comment