Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, March 2, 2012

Amechelewa shule

Mwalimu: Wewe mbona umechelewa shule?
Mtoto: Baba na mama walikua wanapigana.
Mwalimu: Sasa wanahusiana nini na kuchelewa kwako?
Mtoto: Mama alikua anatumia kiatu changu kupigana, baba ndio anaeniletaga na gari shule.

No comments:

Post a Comment