Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 14, 2012

Kitu cha kanisani

Jamaa akiongea na mwenzake "jana kuna mshkaji aliwasha fegi (sigara) kanisani, nlikua naogopa na kutetemeka kidogo nidondoshe bia yangu mkononi."

No comments:

Post a Comment