Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, March 15, 2012

Toka usingizini

Jamaa alikua ametoka kulala na sura yake ya usingizi usingizi... "oya vipi umetoka kulala nini?" Jamaa akajibu "ndio" alueuliza akanena tena "ndio maana unanukia ndoto ndoto bado."

No comments:

Post a Comment