Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, March 22, 2012

Hausi geli mpya

Mzee alirudi nyumbani akakuta mkewe kaleta dada wa kazi za ndani (beki 3).
Mume: Mke wangu huyu nani?
Mke: Ni dada wa kazi za ndani.
Mume: Huyu nilimuona facebook akimsifia hausiboi wa jirani yetu huyu... Hapa kapajuaje?
Mke: Mimi nilimu-add kama rafiki humo humo facebook.

No comments:

Post a Comment