Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, March 16, 2012

Boss na masikio

Kwenye usahili boss asiekua sikio hata moja alikua anahoji ili apate mfanyakazi mwenye sifa.
Boss: Hii kazi inahitaji ufanisi, ni kwanza nini umekiona toka kwangu?
Mtu wa kwanza: Huna masikio kabisa.
Boss kwa hasira "toka nje"

Wa pili ivo ivo akatotelewa, mlangoni akamuonya mtu wa tatu. Alipoingia wa tatu nae akajibu "haujavaa miwani leo"
Boss: Umejuaje?
Mtu wa tatu: Kwa sababu huna masikio.

No comments:

Post a Comment