Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 14, 2012

Kucha za vidoleni

Jamaa mmoja alikua anapenda sana kuweka/kula/kukata kucha za vidoleni. Siku moja akiwa bize na kucha jamaa ake baada ya mida fulani akamkaribisha chakula, mkata kucha akajibu "dah aisee nshashiba kucha hapa nipe maji tu nishushie."

No comments:

Post a Comment