Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 14, 2012

Kitu cha dokta

Jamaa aliulizwa "mbona una picha kubwa ya daktari unataka kuwa dokta baadae nini?"
Jamaa akajibu "nimeambiwa maumivu yakizidi muone daktari."

No comments:

Post a Comment