Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 21, 2012

Bangi mbaya

Mzee mmoja alikataza vijana wasivute bangi pembeni ya nyumba yake. Vijana wakavuta wakavua mashati na kuanza kuisukuma nyumba.
Kibaka akapitia shati zao. Mmoja akageuka na kusema "tujitahidi kusukuma tumefika mbali hata mashati hayaonekani tena."

No comments:

Post a Comment