Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, March 10, 2012

Ulevi barabarani

Trafiki polisi alimkamata jamaa akilewa huku ana endesha gari.
Trafiki: Tafadhali nitolee leseni yako na kadi ya gari.
Dereva akiongea kilevi: Ohh! Nishikie hii bia yangu kwanza ni nikutafutie hivyo vitu...

No comments:

Post a Comment