Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, March 2, 2012

Somo la hisabati

Mwalimu: Wewe mimi nafundisha hisabati wewe unapaka mate kichwani. Ndio nini?
Mwanafunzi: Nilimsikia mama akimuambia baba "kama haiingii paka mate"

No comments:

Post a Comment