Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, March 28, 2012

Bangi bwana

Jamaa alivuta bangi akavua nguo zote akajicheki kwenye kioo akajiona kavaa suti. Akaenda kwa wenzake akawauliza "nimevaa suti nimependeza enh?" Wenzake wakajibu "umependeza kweli ila tai umekosea kuivalia chini."

No comments:

Post a Comment