Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, March 15, 2012

Mwizi wa dhahabu

Mwizi mmoja alidakwa akikwapua moja ya saa kwenye duka la dhahabu, alipodakwa akasema "mkuu najua hutopenda vurugu, tufanye hivi niinunue hii saa yaishe hapa hapa."
Mwenye duka akakubali alipoanza kuandikia risiti bei ya hiyo saa kibaka alipoiona bei akanena "enh samahani naona bei yake kubwa kidogo hamna ingine ya bei rahisi?"

No comments:

Post a Comment