Katoto ka miaka minne kalifuatwa na kuulizwa "wewe kusinzia mbele ya kioo kulikoni na unachelewa mafundisho?"
Dogo akamjibu baba ake "baba mie melala hapa ili ukifika muda mwenzangu kwenye kioo aniamshe kumbe na yeye kalala pia."
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Wednesday, December 21, 2011
Mbele ya kioo
Mama mmoja alimkuta mwanae amelala huku akiwa,mbele ya kioo cha kujitazama. Mama akamuuilza "we Esther mbona umelala mbele ya kioo vipi?"
Mtoto nae bila hiyana toka usingizini akajibu "si nimelala hapa ili nijione nkiwa nimelala"
Akasisitiza "yaani nijue kweli nimelala au nipo macho."
Mtoto nae bila hiyana toka usingizini akajibu "si nimelala hapa ili nijione nkiwa nimelala"
Akasisitiza "yaani nijue kweli nimelala au nipo macho."
Tuesday, December 20, 2011
Maskini kipato
Mama: Mwanangu mbona upo na huzunika sana.
Mtoto: Majirani zetu inaonekana maskini sana, mtoto wao kameza 100Tsh tu wamechanganyikiwa je angemeza elfu 10?
Mtoto: Majirani zetu inaonekana maskini sana, mtoto wao kameza 100Tsh tu wamechanganyikiwa je angemeza elfu 10?
Saturday, December 17, 2011
Kiingereza
Jamaa mmoja wakati anapita sehemu alisikia mtu akiongea lugha ya kigeni kiinglishi. Papo hapo akanena kimya kimya akanena (kwa vile kizungu akichoongea ilikua kimobomoka bomoka mno)
"mmh huyu jamaa anaongea lugha inayofanana na kiingereza"
"mmh huyu jamaa anaongea lugha inayofanana na kiingereza"
Friday, December 16, 2011
Hii kali
Mwanamke katikati ya ndoto akiweweseka "ondoka fasta fasta mume wangu amerudi" jamaa alie pembeni yake akatoka nje na nguo zake kujificha. Alipofika nje akagundua kuwa aliekua anaota ni mkewe na yeye alilala nyumbani kwake pia.
Walevi wawili.
Mlevi: Jana mke wangu alikua kwenye Tv
Mlevi 2: Aliingiaje sasa?
Mlevi 1: Sijui alichukua stuli maana Tv ipo ukutani.
Mlevi 2: Aliingiaje sasa?
Mlevi 1: Sijui alichukua stuli maana Tv ipo ukutani.
Kengele
Mwenye nyumba wakati anatoka akakutana na mtu "wewe ni nani?" Jamaa akajibu "fundi wa kengele,nimekuja rengeneza"
Mwenye nyumba "sasa si ungekuja tangu jana fundi?"
Fundi "nipo mlangoni tangu jana nabonyeza tu kengele hamna anaekuja kufungua mlango"
Mwenye nyumba "sasa si ungekuja tangu jana fundi?"
Fundi "nipo mlangoni tangu jana nabonyeza tu kengele hamna anaekuja kufungua mlango"
Kituo cha polisi
Kijana alipofika kituo cha polisi.
Kijana: Nimekuja uliza, hao kwenye picha ukutani ni akina nani?
Polisi: Hawa watuhumiwa sugu wanatafutwa na polisi.
Kijana: Khaa! Nyie wazembe sa si mngewakamata wakati mnawapiga izo picha!?
Kijana: Nimekuja uliza, hao kwenye picha ukutani ni akina nani?
Polisi: Hawa watuhumiwa sugu wanatafutwa na polisi.
Kijana: Khaa! Nyie wazembe sa si mngewakamata wakati mnawapiga izo picha!?
Fundi kitandani
Mwanamke akimuambia fundi "bora umekuja yaani treni ikipita tu nje nyumba inatetema nusula nidongoke toka kitandani" akamuambia fundi apande kitandani ashuhudie mwenyewe.
Wakati fundi yupo kitandani mume akaingia "haya nini maana ya hii hali fundi yupo na wewe chumbani?"
Mke akajibu "utaamini kuwa alikua anaisubiria treni?"
Wakati fundi yupo kitandani mume akaingia "haya nini maana ya hii hali fundi yupo na wewe chumbani?"
Mke akajibu "utaamini kuwa alikua anaisubiria treni?"
Kilo mbili
Jamaa alienda kujiunga jeshi la polisi, alizidi kilo mbili akakataliwa. Akaenda saluni kunyoavna aliporudi kupima mzani akakutwa bado kilo moja.
Dogo akamjibu afande "afande hii kilo moja iliyobaki kupungua itapungua nkioga na kukojoa tu"
Dogo akamjibu afande "afande hii kilo moja iliyobaki kupungua itapungua nkioga na kukojoa tu"
Wednesday, December 14, 2011
Matokeo mtihani
Dogo alipata 90 kwenye pepa. Mshua alipoona akamuambia "mwanangu sa si ungepata 100 kabisa"
Dogo akajibu "tatizo Juma aliandika mwandiko mbaya jibu la mwisho sikuona vizuri"
Dogo akajibu "tatizo Juma aliandika mwandiko mbaya jibu la mwisho sikuona vizuri"
Tuesday, December 13, 2011
Siti zipo
Abiria: Siti zipo humo ndani au imejaa?
Konda: We chizi nini kwani umesikia wamekalia ndoo humu ndani?
Konda: We chizi nini kwani umesikia wamekalia ndoo humu ndani?
Hamnazo
Baba baada ya kupekua daftari za mwanae "wewe mbona madaftari yapo matupu?"
Mtoto: Niliandika labda nlisahau kupiga mistari maandishi yatakua yamedondokea kwenye begi.
Mtoto: Niliandika labda nlisahau kupiga mistari maandishi yatakua yamedondokea kwenye begi.
Vioja daladala
Konda: Oya kamatia gari inaondoka hii...
Abiria: Siti zote zimejaa ivo ntakaa wapi?
Konda: Usinizengue, km vipi ungekuja na siti yako.
Abiria: Siti zote zimejaa ivo ntakaa wapi?
Konda: Usinizengue, km vipi ungekuja na siti yako.
Monday, December 12, 2011
Swali kwa padre
Kijana akimuuliza padre "fatha nauliza, hivi peponi kuna futball pia?"
Padre: Njoo kesho tafadhali ntakua nimepata jibu.
Siku ilofuata akaja.
Padre akajibu "...ndio kuna futball na una mechi ya kucheza alhamis hii"
Padre: Njoo kesho tafadhali ntakua nimepata jibu.
Siku ilofuata akaja.
Padre akajibu "...ndio kuna futball na una mechi ya kucheza alhamis hii"
Kwa wakili
Wakili: Inakuwaje unataka talaka kumpa mkeo mzuri kiasi hiki?
Mume: Ona kiatu changu kilivyo kizuri, lakini mvaaji pekee ndio anajua kiasi gani kinambana.
Mume: Ona kiatu changu kilivyo kizuri, lakini mvaaji pekee ndio anajua kiasi gani kinambana.
Nani kabla ya ndoa
Mwanaume: Nilikua Milionea kabla sijaoa.
Rafiki: Safi, sasa ivi si ndo mnahela zaidi?
Mwanaume: Hapana nilikua bilionea hapo awali.
Rafiki: Safi, sasa ivi si ndo mnahela zaidi?
Mwanaume: Hapana nilikua bilionea hapo awali.
Kwenye treni
Mkaguzi tiketi kwenye treni "vipi mzee mbona hofu? Usiogope mzee wangu hamna shida ya kukufanya uogope."
Mzee nae akajibu "ohh afadhali maana nimepanda na sijakata tiketi ya safari yangu."
Mzee nae akajibu "ohh afadhali maana nimepanda na sijakata tiketi ya safari yangu."
Sunday, December 11, 2011
Kwenye daladala
Mlokole mmoja alipanda Daladala moja
ambayo ulikuwa inatwanga mziki Wa kidunia
kwa kwenda mbele,Mlokole: nyimbo gani mnapiga hizo, wekeni nyimbo
za Yesu"Kond a akamjibu... ..."Yesu bado
hajatoa albamu.... .."
ambayo ulikuwa inatwanga mziki Wa kidunia
kwa kwenda mbele,Mlokole: nyimbo gani mnapiga hizo, wekeni nyimbo
za Yesu"Kond a akamjibu... ..."Yesu bado
hajatoa albamu.... .."
Saturday, December 10, 2011
Dereva wa daladala
Dereva wa daladala alisimamisha basi akampisha bi.mkubwa mmoja kwenye kiti chake. Abiria wakauliza "dereva vipi nani ataendesha sasa?"
Dereva akajibu "mpaka mtu ajitolee mpisha bibi huyu ndio ntarudi kwenye kiti changu"
Dereva akajibu "mpaka mtu ajitolee mpisha bibi huyu ndio ntarudi kwenye kiti changu"
Kung'oa jino
Dokta meno: Ajabu kweli nimeng'oa meno matatu ya mbele hata damu haitoki!!
Mgonjwa: Aahh umeng'oa ya bandia sio yenyewe.
Mgonjwa: Aahh umeng'oa ya bandia sio yenyewe.
Kwa dokta
Dokta: Hizi dawa ili mumeo apate usingizi.
Mke: Ohh atakiwa ameze saa ngapi?
Dokta: Ni zako wewe ukameze sio yeye.
Mke: Ohh atakiwa ameze saa ngapi?
Dokta: Ni zako wewe ukameze sio yeye.
Wednesday, December 7, 2011
Kibweka kanisani
Jamaa mmoja alikua anampenda sana dada mmoja. Akamfuata mpaka kanisani, ilipofika wakati wa kutoa sadaka jamaa akamuwahi dada na kumuambia "ohh kuhusu sadaka acha tu ntakutolea"
Baada ya mtihani
Baada ya kutoka chumba cha mtihani, wanafunzi walikamatana na kudundana mingumi ya kutosha. Mwalimu alipowakuta na kuwauliza kwanini wanapigana, mmoja wao akajibu;
"mwalimu mimi mtihani wa hesabu sijajibu kitu, nimeandika jina tu, sasa huyu b.w.e. g.e nazi naye kaniiga, hajajaza kitu, ameandika jina tu sasa si itaonekana mmoja wetu amekopi kwa mwenzie halafu tutafutiwa matokeo wote!"
"mwalimu mimi mtihani wa hesabu sijajibu kitu, nimeandika jina tu, sasa huyu b.w.e. g.e nazi naye kaniiga, hajajaza kitu, ameandika jina tu sasa si itaonekana mmoja wetu amekopi kwa mwenzie halafu tutafutiwa matokeo wote!"
Sunday, December 4, 2011
Kichaa kapewa rungu
Kijana alikua anafukuzwa na kichaa aliekua na rungu mkononi kwa umbali wa kilomita 1. Alipochoka akaamua kusimama. Kichaa alipomfikia akam-dalika kidali poo kisha akamuambia "kalale nacho"
Kibweka kitandani
mzee mmoja alikuwa amelala na mkewe,akawa
anajamba kwa sauti mbali mbali,mkewe ikabidi
amuulize kulikoni mume wangu? mzee
akajibu"Potezea bna,Natafuta ringtone ya
matako yangu!"
anajamba kwa sauti mbali mbali,mkewe ikabidi
amuulize kulikoni mume wangu? mzee
akajibu"Potezea bna,Natafuta ringtone ya
matako yangu!"
Friday, December 2, 2011
Somea mtihani
Madogo wawili wa shule ya msingi:
Dogo A: Mtihani keshokutwa sa tunafanyaje?
Dogo B: Kuchemsha daftari tu na kunywa maji.
Dogo A: Tatizo notice zangu nyingi tashindwa maliza hayo maji.
Dogo A: Mtihani keshokutwa sa tunafanyaje?
Dogo B: Kuchemsha daftari tu na kunywa maji.
Dogo A: Tatizo notice zangu nyingi tashindwa maliza hayo maji.
Msiba wa kipenzi
Mwanamke mmoja alifiwa na mumewe kipenzi, siku ya mazishi akaomba msaada mmoja akisema "naombeni mumzike na hii simu yake na chaja niwe nawasiliana nae." Kisha akakumbuka jambo "aahh umeme wa kuchajia hata kuwa nao."
Thursday, December 1, 2011
Mtoto wa nani?
Mtoto alizaliwa na tangu azaliwe hakuwahi ongea. Kwa mara ya kwanza siku akataja "bibi" siku moja mbele bibi ake akafa.
Akataja tena baada ya miezi "babu" ikawa vilevile. Miezi tena akataja "baba" ndipo baba alipoanza andika urithi nk. Kilichofuata akafariki dereva wao.
Akataja tena baada ya miezi "babu" ikawa vilevile. Miezi tena akataja "baba" ndipo baba alipoanza andika urithi nk. Kilichofuata akafariki dereva wao.
Subscribe to:
Posts (Atom)