Kaka mmoja kabla hajaoa dada wa mchumba wake alimuita kwenye maongezi kwa wake zake. Alipofika akamkuta shemeji yake peke yake (dada).
Yule dada akamwambia anaomba afanye nae mapenzi kabla hajamuoa dada ake na kumuambia amfute chumbani jamaa amfuate nyuma.
Jamaa akafikiria kwa muda na kuamua kwenda nje. Huko akakutana na wazazi wakwe wakamwambia 'wow umefaulu kishawishi, karibu kwenye familia yetu'
Jamaa kimoyo moyo akasema 'always kumbuka kuacha condom kwenye gari, nilikua nazifuata.'
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Wednesday, June 30, 2010
Tuesday, June 29, 2010
Mpira wa miguu
Mwanamke mmoja alipokua anaongea na rafikie ghafla akakumbuka kitu na kumuuliza, ''leo kuna mpira live?''
Rafiki yaka akamjibu, 'ndio shoga angu, kulikoni?'
Yule mwanamke, ''mwenzangu sijui nani atasogeza ile coffee table ya kioo pale nyumbani?''
Rafikie... ''kulikoni na hiyo coffee table?''
Mwanamke, ''mwenzangu mume wangu yupo nyumbani jana si alipiga teke jagi la maji... Midadi ya mpira kwenye tv''
Rafiki yaka akamjibu, 'ndio shoga angu, kulikoni?'
Yule mwanamke, ''mwenzangu sijui nani atasogeza ile coffee table ya kioo pale nyumbani?''
Rafikie... ''kulikoni na hiyo coffee table?''
Mwanamke, ''mwenzangu mume wangu yupo nyumbani jana si alipiga teke jagi la maji... Midadi ya mpira kwenye tv''
ATM
Mwanaume na ATM.
1. Atatoa kadi ya ATM.
2. Ataichomeka.
3. Ataingiza namba ya siri.
4. Atachukua pesa, card na risiti.
Mwanamke na ATM.
1. Ataitoa kadi ya ATM.
2. Atajichek kwenye kioo cha makeup.
3. Atazima gari.
4. Ataweka funguo kwenye pochi.
5. Ataitafuta ATM kadi kwenye pochi.
6. Atachomeka kadi.
7. Atatafuta kikaratasi chenye namba za siri.
8. Atasoma maelekezo kwa dk.2.
9. Atabonyeza CANCEL.
10. Ataingiza namba ya siri upya.
11. Ataangalia balance.
12. Atatafuta kibahasha.
13. Atatafuta peni kwenye pochi.
14. Atatoa hela.
15. Atarudi kwenye gari.
16. Atajiangalia makeup tena.
17. Atatafuta ufunguo kwenye pochi.
18. Atawasha gari.
19. Atarudi tena kwenye ATM.
20. Ataenda chukua kadi na risiti.
21. Ataweka kwenye walet.
22. Atajiangalia makeup tena.
23. Ataondoka km chache na kutoa handbreak.
1. Atatoa kadi ya ATM.
2. Ataichomeka.
3. Ataingiza namba ya siri.
4. Atachukua pesa, card na risiti.
Mwanamke na ATM.
1. Ataitoa kadi ya ATM.
2. Atajichek kwenye kioo cha makeup.
3. Atazima gari.
4. Ataweka funguo kwenye pochi.
5. Ataitafuta ATM kadi kwenye pochi.
6. Atachomeka kadi.
7. Atatafuta kikaratasi chenye namba za siri.
8. Atasoma maelekezo kwa dk.2.
9. Atabonyeza CANCEL.
10. Ataingiza namba ya siri upya.
11. Ataangalia balance.
12. Atatafuta kibahasha.
13. Atatafuta peni kwenye pochi.
14. Atatoa hela.
15. Atarudi kwenye gari.
16. Atajiangalia makeup tena.
17. Atatafuta ufunguo kwenye pochi.
18. Atawasha gari.
19. Atarudi tena kwenye ATM.
20. Ataenda chukua kadi na risiti.
21. Ataweka kwenye walet.
22. Atajiangalia makeup tena.
23. Ataondoka km chache na kutoa handbreak.
Wanaume
Kaka mmoja alikuwa bar baada ya kupata mbili tatu akajikuta akisema ''inaonyesha wanaume wengi wana sababu moja ama mbili, wanakaa sana bar kwasababu hawana wake nyumbani au wanao wake nyumbani...''
Gitaa
Kaka mmoja alikuwa akimuambia mwenzake kuhusu yeye kuhama alipokuwa akiishi na jirani yake.
Rafiki akauliza, ''kwa nini umehama?
Jamaa akajibu ''kwa sababu ya kelele za gitaa kila siku usiku kwa muda wa saa moja''
Rafiki yake: Gitaa? Jamaa: ndio lilikuwa lapiga kelele sana usiku.
Rafiki yake: So ukaamua kuhama eneo kwa kuepuka kelele za gitaa? Si ungewaambia waache hizo kelele?
Jamaa: Nilihama, ni mimi nikiepiga gitaa...
Rafiki akauliza, ''kwa nini umehama?
Jamaa akajibu ''kwa sababu ya kelele za gitaa kila siku usiku kwa muda wa saa moja''
Rafiki yake: Gitaa? Jamaa: ndio lilikuwa lapiga kelele sana usiku.
Rafiki yake: So ukaamua kuhama eneo kwa kuepuka kelele za gitaa? Si ungewaambia waache hizo kelele?
Jamaa: Nilihama, ni mimi nikiepiga gitaa...
Darasani matokeo
Mwalimu akiwaambia wanafunzi. ''kwa kweli sijaridhishwa na majibu yenu kwenye mtihani''
Mwanaftnzi nae akarukha na kujibu, 'hata sisi hatujaridhishwa na maswali'
Mwanaftnzi nae akarukha na kujibu, 'hata sisi hatujaridhishwa na maswali'
Monday, June 28, 2010
Mh! Bure
Mama mmoja akiwa na mtoto wa miaka miwili alienda nunua nyama. Alipofika muuza nyama akamwambia ''ntakua nakupa nyama bure mpaka mtoto atakapofikisha miaka 16'' mama akashukuru sana.
Miaka kadhaa baadae mtoto alipoenda nunua nyama akamwambia muuza nyama ''natimiza miaka 16 kesho''
Muuza nyama akajibu ''najua''
Muuza nyama: Pia kamuambie mama yako muda wa nyama ya bure umeisha na mwangalie usoni ataipokeaje?.
Mama nae baada ya kuambiwa nae akamttuma mtoto... ''kamuambie kwa kipindi chote nimekuwa nkipata mikate, maziwa bure halafu mwangalie usoni ataipokeaje?
Miaka kadhaa baadae mtoto alipoenda nunua nyama akamwambia muuza nyama ''natimiza miaka 16 kesho''
Muuza nyama akajibu ''najua''
Muuza nyama: Pia kamuambie mama yako muda wa nyama ya bure umeisha na mwangalie usoni ataipokeaje?.
Mama nae baada ya kuambiwa nae akamttuma mtoto... ''kamuambie kwa kipindi chote nimekuwa nkipata mikate, maziwa bure halafu mwangalie usoni ataipokeaje?
Sunday, June 27, 2010
Kulingishia
Katoto kamoja ka kiume kalimringishia mpira wa fubol mwenzake wa kike.
Yule wakike akalilia kwa mama ake akanunuliwa.
Siku ingine akalingishiwa baiskel nayo akanunuliwa.
Mara ya tatu yule wakiume akavua kaptula na kumuambia yule wa kike ''mama yako hawezi kununulia hii'' akimaanisha naniliu...
Wa kike akamjibu ''mama kaniambia kwa vile nnayo hii (naniliu) naweza kupata hizo nitakavyo''
Yule wakike akalilia kwa mama ake akanunuliwa.
Siku ingine akalingishiwa baiskel nayo akanunuliwa.
Mara ya tatu yule wakiume akavua kaptula na kumuambia yule wa kike ''mama yako hawezi kununulia hii'' akimaanisha naniliu...
Wa kike akamjibu ''mama kaniambia kwa vile nnayo hii (naniliu) naweza kupata hizo nitakavyo''
Ndoa
Maisha ndoa bwana.
Mwaka wa kwanza, mwanaume anaongea mwanamke anasikia.
Mwaka wa pili, mwanamke anaongea mwanaume anasikiliza.
Mwaka wa tatu, wote wanaongea majirani wanasikiliza.
Mwaka wa kwanza, mwanaume anaongea mwanamke anasikia.
Mwaka wa pili, mwanamke anaongea mwanaume anasikiliza.
Mwaka wa tatu, wote wanaongea majirani wanasikiliza.
Soma hii
Josh: Halow, naongea na Esta?
Esta: Ndio.
Josh: Esta yule nlikutana nae usiku tukaondoka wote?
Esta: Ndio, ukanisifia sana nna mapaja mazuri...
Josh: Nakumbuka kabisa. Za siku?
Esta: Njema tu nna mimba yako.
Josh: Enhe! Wrong namba.
Esta: Ndio.
Josh: Esta yule nlikutana nae usiku tukaondoka wote?
Esta: Ndio, ukanisifia sana nna mapaja mazuri...
Josh: Nakumbuka kabisa. Za siku?
Esta: Njema tu nna mimba yako.
Josh: Enhe! Wrong namba.
Kasuku part ii
Kuna jamaa mmoja aliambiwa ''huyu kasuku akinyanyua mguu wa kushoto anaongea kiswahili, wa kulia anaongea kidhungu.
Jamaa akauliza ''je akinyanyua miguu yote je?"
kasuku akadakia na kujibu ''we fala nini, si ntakua napaa?''
Jamaa akauliza ''je akinyanyua miguu yote je?"
kasuku akadakia na kujibu ''we fala nini, si ntakua napaa?''
Jani
Vijana wawili walikua wamekaa chini ya mti na ka-giza giza fulani. Mmoja akamuambia mwenzake.
''kama ningekuwa na tochi vile...'' jamaa mwenzake akamuuliza, ''kwa nini?''
Jamaa akajibu ''umekuwa ukila majani kwa dakika 20 sasa.''
''kama ningekuwa na tochi vile...'' jamaa mwenzake akamuuliza, ''kwa nini?''
Jamaa akajibu ''umekuwa ukila majani kwa dakika 20 sasa.''
Dada na kaka
Maongezi ya dada na kakafulani.
Kaka: Enhe, ulisema umeolewa enh?
Dada: Niliolewa nanguruwe nkaachika nkenda kuishi nakapanya.
Nanguruwe na Nakapanya ni maeneo/vijiji fulani.
Kaka: Enhe, ulisema umeolewa enh?
Dada: Niliolewa nanguruwe nkaachika nkenda kuishi nakapanya.
Nanguruwe na Nakapanya ni maeneo/vijiji fulani.
Kasuku...
Kuna kasuku mmoja alikuwa anafugwa kwenye danguro. Mama mmoja akataka amnunue akaambiwa lakini kasuku ana matusi, yule mama akasema ntamnunua hivyo hivyo.
Alipomnunua akamueka kwake. Kasuku akaongea.
Kasuku: Hee! Danguro jipya, boss mpya. (akimaanisha matha house).
Kidogo wakaingia watoto wa mwenye nyumba wawili kasuku akasema.
Kasuku: Hee, danguro jipya, malaya wapya.
Kidogo akaingia baba mwenye nyumba. Kasuku akasema.
''hee! George karibu kwenye danguro jipya.
Alipomnunua akamueka kwake. Kasuku akaongea.
Kasuku: Hee! Danguro jipya, boss mpya. (akimaanisha matha house).
Kidogo wakaingia watoto wa mwenye nyumba wawili kasuku akasema.
Kasuku: Hee, danguro jipya, malaya wapya.
Kidogo akaingia baba mwenye nyumba. Kasuku akasema.
''hee! George karibu kwenye danguro jipya.
Mkanda wa gari
Jamaa mmoja alikuwa anaongelea kuhusu kufunga mkanda kwenye gari mambo yalikuwa hivi:
1: Mimi kwenye gari lazima nifunge mkanda.
2: Hata mimi kila mara.
3: Mimi mke wangu kanizoesha mpaka nikifuata kitu kwenye gari nafunga mkanda kwanza.
1: Mimi kwenye gari lazima nifunge mkanda.
2: Hata mimi kila mara.
3: Mimi mke wangu kanizoesha mpaka nikifuata kitu kwenye gari nafunga mkanda kwanza.
Saturday, June 26, 2010
Oda
Jamaa alienda bar, akaagiza mishkaki. Ilichukua takribani nusu saa akiisubiri baada ya muda kidogo mhudumu akaja na kumuambia ''samahani kaka umeagiza mishkak?''
Kaka akajibu ''ndio''
Mhudumu akamjibu ''oh! Ndio wanamchuna ngozi ng'ombe vumilia kidogo tu''
Kaka akajibu ''ndio''
Mhudumu akamjibu ''oh! Ndio wanamchuna ngozi ng'ombe vumilia kidogo tu''
Simu hospitali
Mwanaume mmoja alipiga simu hospitali ya wagonjwa wa akili akapokea mtu wa mapokezi na kumuambia, ''kuna mgonjwa yeyote chumba namba 30?''
Mtu wa mapokezi akaenda kuangalia na kurudi akamjibu yule mtu kwenye simu ''hamna mtu kwenye hicho chumba.''
Jamaa kwenye simu akaongea... ''oh! hiyo inamaanisha nimefanikiwa kutoroka.''
Mtu wa mapokezi akaenda kuangalia na kurudi akamjibu yule mtu kwenye simu ''hamna mtu kwenye hicho chumba.''
Jamaa kwenye simu akaongea... ''oh! hiyo inamaanisha nimefanikiwa kutoroka.''
Darasani
Mwalimu mmoja aliwauliza wanafunzi wa darasa la kwanza swali ''baba yako akikopa sh 1,000/= halafua akienda kukopa sh 1,000/= atakuwa anadaiwa sh ngapi?
Mtoto: Hatolipa kitu.
Mwl: We mtoto una akili kweli.
Mtoto: Ndio ninazo kwa sababu humjui baba yangu.
Mtoto: Hatolipa kitu.
Mwl: We mtoto una akili kweli.
Mtoto: Ndio ninazo kwa sababu humjui baba yangu.
Mbio mbio...
Jamaa alifumaniwa na akatoka mbio bila nguo...kufika kwake mkewe akamuuliza vip?jamaa akajibu nimevamiwa na majambazi wamenipora kila ki2 mpaka nguo.mkewe akamjibu kweli hao majambazi kiboko wamekuvalisha mpaka condom..!! Tafakari!
Friday, June 25, 2010
Padre na sista
Padre na sista walienda kutafuta hotel ya kulala ugenini, bahati mbaya chumba kikapatikana kimoja. Ikabidi wakichukue hivyo hivyo.
Usiku wakatenga mpaka kitandani kwa kutumia mito. Wakalala mpaka asubuhi.
Asubuhi wakati wanamtafuta mtu wa mapokezi ili waondoke akawa haonekani. Sista akamwambia padre ''si turuke ukuta?''
Padre akamjibu, ''umeshindwa kuruka mto jana usiku utaweza ukuta?''
Usiku wakatenga mpaka kitandani kwa kutumia mito. Wakalala mpaka asubuhi.
Asubuhi wakati wanamtafuta mtu wa mapokezi ili waondoke akawa haonekani. Sista akamwambia padre ''si turuke ukuta?''
Padre akamjibu, ''umeshindwa kuruka mto jana usiku utaweza ukuta?''
Nyama
Jamaa alinunua nyama kilo 2 aliporudi house boy akamwambia paka kala yote! Kumpima paka ana kilo 1 jamaa akauliza hyo kilo 1 imeenda wapi?
Kidogo ajali
Gari moja ilisikika ikiliza breki kwenye lami kwa sauti ya kukoswa koswa mtu kugongwa...
Jamaa waliokuwa kijiweni mmoja akatamka kwa wenzake ''dah jamaa hana shabaha''
akimaanisha dereva.
Jamaa waliokuwa kijiweni mmoja akatamka kwa wenzake ''dah jamaa hana shabaha''
akimaanisha dereva.
Kusafirisha maiti.
''Ndege moja lilikuwa linasafirisha maiti, bahati mbaya ikaanguka na watu wote wakafa.'' jamaa akimsimulia mwenzake.
Jamaa aliekisimuliwa akanena la kwake na yeye ''haa! Kwa hiyo maiti ikafa tena?''
Jamaa aliekisimuliwa akanena la kwake na yeye ''haa! Kwa hiyo maiti ikafa tena?''
Ajali
Jamaa aligonga mtu bahati mbaya akiwa na pick-up hakusimama. Akakanyaga mafuta mpaka polisi kurepoti alipofika akawa anaelezea sasa:
Dereva: ...nimegonga mtu pale mkwedu.
Polisi: Maiti umeiacha wapi?
Dereva: Pale pale.
Polisi kufika kuikagua gari ndo wanaiona maiti imeangukia kwenye pick-up nyuma.
Dereva: ...nimegonga mtu pale mkwedu.
Polisi: Maiti umeiacha wapi?
Dereva: Pale pale.
Polisi kufika kuikagua gari ndo wanaiona maiti imeangukia kwenye pick-up nyuma.
Ujauzito
Mwanamke mmoja alienda kwa daktari. Alitafuta mtoto kwa miaka 10 bila mafanikio.
Daktari: Majibu yanaonyesha huu mjamzito.
Mwanamke: Ashukuliwe mungu loh!
Daktari akatoa story fupi kidogo.
Daktari: Nakumbuka nilikuwa na kuku wangu mda mrefu hakutaga, nikabadilisha jogoo akaanza kutaga.
Mwanamke kuchangia stori akajibu ''me too.?'
Daktari: Majibu yanaonyesha huu mjamzito.
Mwanamke: Ashukuliwe mungu loh!
Daktari akatoa story fupi kidogo.
Daktari: Nakumbuka nilikuwa na kuku wangu mda mrefu hakutaga, nikabadilisha jogoo akaanza kutaga.
Mwanamke kuchangia stori akajibu ''me too.?'
Yero...
Mmasai alikuwa safarini njiani akaomba achimbe dawa, alipomaliza akaendelea na safari, ghafla akakumbuka akamwambia dereva "Eeh rafiki nimesahau ile fuko ya Matako" akimaanisha chupi.
Mhudumu hotel
Jamaa alipokelewa mizigo hotelini na mhudumu mpaka chumbani. Kisha mhudu akauliza ''kingine cha ziada?''
Mume akajibu ''asante, hamna.''
Mhudumu akauliza tena ''labda mkeo atahitaji kitu?'' mume akajibu ''oh, nashukuru kwa kunikumbusha, mnauza kucha za kubandika?''
Mume akajibu ''asante, hamna.''
Mhudumu akauliza tena ''labda mkeo atahitaji kitu?'' mume akajibu ''oh, nashukuru kwa kunikumbusha, mnauza kucha za kubandika?''
Hii nayo
Jamaa mmoja alikuwa anamsifia msichana mmoja mzuri aliemuona kwa rafiki yake.
''...unasikia kaka aise huyo dada mzuri mguu upo, bambataa ya uhakika... Ana tiles mpaka kwenye ulimi...''
Mwenzake akamuuliza ''tiles?''
akamjibu 'eenhe ivo ivo'
''...unasikia kaka aise huyo dada mzuri mguu upo, bambataa ya uhakika... Ana tiles mpaka kwenye ulimi...''
Mwenzake akamuuliza ''tiles?''
akamjibu 'eenhe ivo ivo'
Hii nayo
Jamaa mmoja alikuwa anamsifia msichana mmoja mzuri aliemuona kwa rafiki yake.
''...unasikia kaka aise huyo dada mzuri mguu upo, bambataa ya uhakika... Ana tiles mpaka kwenye ulimi...''
Mwenzake akamuuliza ''tiles?''
akamjibu 'eenhe ivo ivo'
''...unasikia kaka aise huyo dada mzuri mguu upo, bambataa ya uhakika... Ana tiles mpaka kwenye ulimi...''
Mwenzake akamuuliza ''tiles?''
akamjibu 'eenhe ivo ivo'
Subscribe to:
Posts (Atom)