Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 30, 2010

Kabla ya ndoa

Kaka mmoja kabla hajaoa dada wa mchumba wake alimuita kwenye maongezi kwa wake zake. Alipofika akamkuta shemeji yake peke yake (dada).

Yule dada akamwambia anaomba afanye nae mapenzi kabla hajamuoa dada ake na kumuambia amfute chumbani jamaa amfuate nyuma.

Jamaa akafikiria kwa muda na kuamua kwenda nje. Huko akakutana na wazazi wakwe wakamwambia 'wow umefaulu kishawishi, karibu kwenye familia yetu'

Jamaa kimoyo moyo akasema 'always kumbuka kuacha condom kwenye gari, nilikua nazifuata.'

No comments:

Post a Comment