Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 22, 2010

WorldCUP

Jamaa mmoja alienda kwa jirani yake kuangalia mechi za world cup. Alipofika jamaa ikawa hivi:

Jamaa: Yakhee! Mzimaa?
Jirani: Mzima yakhee!
Jamaa: Nimekuja cheki mechi ya Nusu fainali bwana za world cup.
Jirani: Duh! Zishafika nusu fainali!?
Me tv yangu si unajua ya mchinaa... Leo ndo kwanza inaonyesha ufunguzi wa world cup.

1 comment: