Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 25, 2010

Shuka...

Mtoto mmoja alizoea sana kumtania baba yake, siku moja baba yake alikuwa amesimama nje uku amevaa shuka kama msuli vile.

Basi yule mtoto akamfuata na kumuambia ''baba hujafunga zipu...''
baba wacha ashtuke.

No comments:

Post a Comment