Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 25, 2010

Kidogo ajali

Gari moja ilisikika ikiliza breki kwenye lami kwa sauti ya kukoswa koswa mtu kugongwa...

Jamaa waliokuwa kijiweni mmoja akatamka kwa wenzake ''dah jamaa hana shabaha''
akimaanisha dereva.

No comments:

Post a Comment