Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 23, 2010

Mwanakijiji mmoja...

Mwanakijiji mmoja alikuja Dar es Salaam, na aliporudi kijijini kwao ili asionekane mshamba akawa anawasimulia wenzake kwa confidence kubwa tu.
"Dah Dar nime-enjoy sana, nilienda hoteli moja inaitwa Sheratoni nikala vyakula tofauti tofauti nakumbuka kimoja kinaitwa wireless dah achaaa!!"

No comments:

Post a Comment