Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Bwenini...

Mwalimu wa zamu siku moja aliingia bwenini majira ya saa nne, akakuta taa imezimwa na wanafunzi wapo vitandani.

Mwalimu akauliza kwa sauti ''wangapi wamelala humu ndani?''

Wanafunzi kadhaa wakanyoosha vidole. Mwalimu akauliza ''walio lala wananyoosha vidole?''

No comments:

Post a Comment