Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Maneno matamu.

Siku moja mtoto alikuwa na glasi ya maji ameishikilia tu, mama yake akatokea na kumuuliza ''Josh mbona hunywi maji hayo?''

Mtoto akajibu ''mbona mama sikuoni?''
Mama akauliza ''wapi mwanangu?''

Mtoto akajibu ''baba si anakuambiaga akinywa maji anakuona kwenye glass?''

1 comment: