Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Jogoo

Mchungaji mmoja alipoteza wakati anamtafuta jogoo alietoweka katika mazingira ya kutatanisha. Wakati wa ibada ilimbidi atumie mwanya wake kuuliza kama kuna aliemuona.
"nani ana jogoo?" wanaume wote kanisani wakasimama akiwepo mzee wa miaka 87. A

kaona amekosea kuuliza, akauliza tena "nani ameona jogoo" wanawake/wasichana wote wakasimama akiwemo mwanae wa miaka 13. Ikabidi asema "ooh no no simaanishi hivyo..."

Ikabidi aulize tena "nani ameona jogoo wangu wiki mbili zilizopita?" Wahudumu/wanachama wa kike wa kanisa wote wakasimama.

No comments:

Post a Comment