Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Mtoto na babu

Mtoto akimuuliza babu yake.
Mtoto: Babu enzi zenu hakukuwa na matatizo na magonjwa mengi enh?
Babu: Ndio mjukuu wangu.
Mtoto: Na mlikuwa mnatumia nini kwa safe sex?
Babu: Oh! Tulikitumia pete ya ndoa.

No comments:

Post a Comment