Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Bafuni...

Fundi mmoja baada ya ujenzi wa nyumba moja, jioni wakati anaoga kwenye bafu mlango gunia alidondosha sabuni.

Sasa wakati anaitafuta alikuwa amefumba macho, ameitafuta huku akiogopa kufumbua macho sabuni isimuwashe machoni huku upepo ukipuliza mkali kidogo, alijikuta yupo nje ya bafu watu wakimshangaa...

Kumbe gunia mlangoni lilim-time na ule upepo.

No comments:

Post a Comment