Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 24, 2010

Yakhee mmoja

Yakhe mmoja wa kipemba aliletewa supu kwenye mgahawa. Baada ya kuikagua kagua akawa haielewi elewi akamuita mhudumu amuulize:

Yakhe: Yakhe samahani hii nyama ya sehemu gani atii?
Mhudumu: Mzee hii nundu hii.
Yakhe: Aaah yakhe hii mbona kama sio.

Yakhe akaendele kuongea.

Yakhe: Yakhe hii si nyama ya nku*&%u hii?
Aah hii nyama ya nku*@€u yakhe nibadilishie...

No comments:

Post a Comment