Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Tv set

Jamaa mmoja alienda duka moja na ikawa hivi:

Jamaa: Nahitaji nunua hii TV.
Dukani: Hapana siwezi kukuuzia.

Jamaa akatimua na siku ya pili akabadili aina ya mavazi, akajibiwa vile vile.

Mara ya tatu akaenda ikawa hivi:

Jamaa: Nahitaji nunua hii TV.
Dukani: Siwezi kukuuzia.
Jamaa: Kwani shida ipo wapi?
Dukani: We si ndo yule yule uliekuja mara ya tatu sasa?

Jamaa akauliza: Umejuaje wakati una wateja wengi?
Dukani: Kwasababu hii ni Microwave na si TV.

No comments:

Post a Comment