Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 27, 2010

Mkanda wa gari

Jamaa mmoja alikuwa anaongelea kuhusu kufunga mkanda kwenye gari mambo yalikuwa hivi:
1: Mimi kwenye gari lazima nifunge mkanda.
2: Hata mimi kila mara.
3: Mimi mke wangu kanizoesha mpaka nikifuata kitu kwenye gari nafunga mkanda kwanza.

No comments:

Post a Comment