Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Maziwa ya mama

Wanafunzi darasani waliulizwa swali na mwalimu wao ''nini faida nne za maziwa ya mama?''

Mwanafunzi mmoja wa kiume akanyoosha kidole na kujibu.
1. Huna haja ya kuyachemsha.
2. Nyau hawezi yaiba.
3. Yanapatikana anytime
4. (huku akifikiria mwanafunzi) ...ya nne ...ya nnee... Eenh 'yanapatikana kwenye kontena zinazovutia.'

No comments:

Post a Comment